
Mama  Monica Mutasingwa wa  (kulia) ambaye alikuwa muumini wa zamani wa  kanisa la Kakobe (Full Gospel Bible Felloship) na kufukuzwa katika  kanisa hilo akizungumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa  Habari Maelezo juu ya kile alichokiita kuwa ni Unyanyasaji, Uonevu na  uvunjwaji wa Haki za binadamu unaofanywa na Askofu Zakaria Kakobe zidi  ya waumini wake akiwa kama kiongozi wa Dhehebu hilo kinyume na maandiko  matakatifu na mahubiri yake kanisani hapo.Kushoto ni baba yake mzazi  mzee Tara Sariyael.
 
    
 






