Friday, July 16, 2010

KAKOBE MATATANI TENA........!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


Mama Monica Mutasingwa wa (kulia) ambaye alikuwa muumini wa zamani wa kanisa la Kakobe (Full Gospel Bible Felloship) na kufukuzwa katika kanisa hilo akizungumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa Habari Maelezo juu ya kile alichokiita kuwa ni Unyanyasaji, Uonevu na uvunjwaji wa Haki za binadamu unaofanywa na Askofu Zakaria Kakobe zidi ya waumini wake akiwa kama kiongozi wa Dhehebu hilo kinyume na maandiko matakatifu na mahubiri yake kanisani hapo.Kushoto ni baba yake mzazi mzee Tara Sariyael.


Wednesday, July 14, 2010

ASYCUDA++, ASY-SCAN & IDF ONLINE

KWA HUDUMA ZA TANSAD PREPARATION, ASY-SCAN, IDF PREPARATION, ASYCUDA++ & VPN INSTALLATION, PAMOJA NA KUJIFUNZA, FIKA CLOCK TOWER SAMORA/UHURU JENGO LA DODOMA HOUSE KARIBU NA KAI SHOP, UTAKUTANA NA WATAALAMU WA ASYCUDA++, ASY-SCAN NA IDF ONLINE,

PIA KWA MATATIZO YOYOTE YA COMPUTER:- MAINTENANCE & REPAIR (SOFTWARE, HARDWARE, NETWORKING INSTALLATION AND STRONG ANTI-VIRUS INSTALLATION)

MAWASILIANO:-

0755-669634
joshy3vm@yahoo.com

WOZA 2010: MAMBO YA PWEZA HAYOO!!!!!!!!


HAPO PWEZA AKIWATABIRIA SPAIN KUWA NDIO MACHAMPION WA WOZA 2010 KWENYE ARDHI YETU (AFRICA) KWELI PWEZA HUYU NI KIBOKO JAMANI!!!!!

WOZA 2010: JAMAA ALITAKA KUGUSA KOMBE LA DUNIA DUH!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!







KUMBE MAMBO HAYA SI BONGO TU, UKIACHILIA MBALI JAMAA ALIYETAKA KUMGUSA KAKA' PALE UWANJA WA TAIFA WAKATI BRAZIL IKIITIUNGUA TAIFA STARS, HUKO BONDENI KWA MADIBA JAMAA HUYO PICHANI ALIJITOSA ILI KULISHIKA TU KOMBE LA DUNIA, ALIFANIKIWA KUTIMIZA NIA YAKE!!!!!!!!!!!!!!