Mama Monica Mutasingwa wa (kulia) ambaye alikuwa muumini wa zamani wa kanisa la Kakobe (Full Gospel Bible Felloship) na kufukuzwa katika kanisa hilo akizungumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa Habari Maelezo juu ya kile alichokiita kuwa ni Unyanyasaji, Uonevu na uvunjwaji wa Haki za binadamu unaofanywa na Askofu Zakaria Kakobe zidi ya waumini wake akiwa kama kiongozi wa Dhehebu hilo kinyume na maandiko matakatifu na mahubiri yake kanisani hapo.Kushoto ni baba yake mzazi mzee Tara Sariyael.
Friday, July 16, 2010
Wednesday, July 14, 2010
ASYCUDA++, ASY-SCAN & IDF ONLINE
KWA HUDUMA ZA TANSAD PREPARATION, ASY-SCAN, IDF PREPARATION, ASYCUDA++ & VPN INSTALLATION, PAMOJA NA KUJIFUNZA, FIKA CLOCK TOWER SAMORA/UHURU JENGO LA DODOMA HOUSE KARIBU NA KAI SHOP, UTAKUTANA NA WATAALAMU WA ASYCUDA++, ASY-SCAN NA IDF ONLINE,
PIA KWA MATATIZO YOYOTE YA COMPUTER:- MAINTENANCE & REPAIR (SOFTWARE, HARDWARE, NETWORKING INSTALLATION AND STRONG ANTI-VIRUS INSTALLATION)
MAWASILIANO:-
0755-669634
joshy3vm@yahoo.com
PIA KWA MATATIZO YOYOTE YA COMPUTER:- MAINTENANCE & REPAIR (SOFTWARE, HARDWARE, NETWORKING INSTALLATION AND STRONG ANTI-VIRUS INSTALLATION)
MAWASILIANO:-
0755-669634
joshy3vm@yahoo.com
WOZA 2010: MAMBO YA PWEZA HAYOO!!!!!!!!
WOZA 2010: JAMAA ALITAKA KUGUSA KOMBE LA DUNIA DUH!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Subscribe to:
Posts (Atom)