Friday, January 22, 2010

HEPI BESI DEI BABA WAWILI...............!!!!!!!!!!


20 January ilikuwa ni birthday ya joshua (baba wawili) kama ilivyokuwa kawaida huwa kunakuwa na kiparty flani hv, lakini kutokana na 20 kuwa j5, familia ameandaa home party kesho jumamosi kwa marafiki na majirani wote pale nyumbani kwake tabata kuanzia saa 6 mchana lunch mpaka saa jioni hv, ukiwa rafiki, jirani, jamaa wa familia hii unakaribishwa kujumuika pamoja kwenye party hii!!!

No comments:

Post a Comment