JAMANI JAMANI..................!!!!!!!
nilikuwa najiuliza kuhusu hizi pics ambazo huwa zinatatanisha watu, lakini sasa nimepata ukweli kumbe huyo sokwe demu ni VPN ya huyo komandoo aliyesimama ki-ukakamavu, nasikia connection ni mwanzo mwisho kama dereva wa guta
No comments:
Post a Comment