hepi besi dei ya kuzaliwa watoto wake mimi
tarehe kama ya leo mwaka uliopita namaanisha tar 26/05/2009 wanangu walizaliwa pale lugalo hosp, na leo ni mwaka sasa mapacha hawa wametimiza, hepi besi dei faraja & furaha wangu MUNGU awazidishie na awalinde siku zote za maisha yao
wow..cute jamani hongereni sana wanangu..Mungu azidi kuwapa ulinzi wake wa kiungu ndan yenu...azidi kuwapa wazazi wenu nguvu ya kuwalea ehee..sawa..hongeren kwa kupiga hatua watoto wazuri
ReplyDelete