Wednesday, May 26, 2010

NIMESHAURIWA NITANGAZE NIA JIMBO LA KILOLO HUKU SI KUTEGANA JAMANI!!!!!


eti toka nimeanza kuvaa suti watu wengi wananipigia nitie "nia" kama wasemavyo wanasiasa wetu pale wanapotangaza kugombea majimboni, sipendi kutia nia maana mafans wa blog yangu watakuwa wanakosa mavituzzzzx since nitakuwa bizex sana na mambo ya cham, msijali jamani sitii nia, tupo pamoja "aluta continua"

No comments:

Post a Comment